Ezekiel 45:1

Mgawanyo Wa Nchi

1 a“ ‘Mtakapogawa nchi kuwa urithi, mtaitoa sehemu ya nchi kwa Bwana kuwa eneo takatifu, urefu wake dhiraa 25,000,
Dhiraa 25,000 ni sawa na kilomita 11.25.
upana wake dhiraa 20,000
Dhiraa 20,000 ni sawa na kilomita 9.
eneo hili lote litakuwa takatifu.
Copyright information for SwhKC